Kabla ya mchezo kati ya Manchester United vs Manchester City dunia itashuhudia mchezo mkubwa mwingine nchini Uingereza ambapo majogoo wa London Liverpool watakuwa nyumbani kuikaribisha Everton.
Sunday, December 10, 2017
Liverpool kutengeneza rekodi leo mbele ya Everton
Kabla ya mchezo kati ya Manchester United vs Manchester City dunia itashuhudia mchezo mkubwa mwingine nchini Uingereza ambapo majogoo wa London Liverpool watakuwa nyumbani kuikaribisha Everton.
SHUJAA WA TAIFA KUZIKWA LEO
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxG9Yhtyej4yFiMHsMmvyeNdshJy-StkeYNoG8XIfXvU54Vks-_-GxgHb3Xq_-d3fzi-5JnRMrbvAW-f8Z5AUxABK8q4jQkbnfP3Lk1w7nRlsnFNlIKsbZLy3a_i6-Yy2udV4SWcxoKQQ/s400/BENDERA+%2523salehjembe.jpg)
Viongozi
wakuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Rais Wallace
Karia na Makamu Rais Michael Wambura wataongoza ujumbe wa shirikisho
Mshambuliaji mpya wa Azam afanya kitu
KLABU
Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imetoka sare ya bao 1-1 na
Friends Ranger katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa
Azam Complex usiku wa jana.
RC ATOA AGIZO KWA JESHI LA POLISI
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/12/kitanzi-1.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo ameitaka polisi mkoani humo kuwakamata watu waliowatia mimba wanafunzi 20 ambao walishindwa kufanya mitihani yao ya kumaliza darasa la saba mwaka huu.
UNAJUA KUHUSU MAISHA YA BABU SEYA
Baada ya kusota gerezani kwa miaka 13 na miezi minne, wakitumikia
kifungo cha maisha, hatimaye mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi
nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanae, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’
jana walirejea uraiani kwa msamaha wa Rais John Pombe Magufuli
Jose Mourinho hautabiriki.
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2017/12/Pep-Guardiola-Jose-Mourinho.jpg)
Kocha wa Manchester United, amesema mchezo mkubwa baina yao na Manchester City chini ya Kocha Pep Guardiola
Subscribe to:
Posts (Atom)