![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhP7YvQFhEhhU4r7u6u2mCF1Wyv0Wbcit6aen3Sawx2cqq8XWL9wQlI_-hCuRu3ngp6g5jpSSeXyVK8PILTw7KkHGdiZXoHYmCFW3HuD52JBgGs4V_xmiDb6Qap1uLxWesBatd8W9dZhc6J/s400/46022D4C00000578-0-image-a-2_1509813274533.jpg)
Arsenal wamesafiri hadi jijini Manchester kwa mechi yao ya leo dhidi ya Manchester City.
Katika mazoezi yao, wameonekana ni wenye furaha na wako tayari kwa ajili ya mchezo huo.
Mechi
tatu zilizopita zinaonyesha sare mbili na moja Arsenal walipoteza.
Inawezekana ikawa nafasi yao nzuri kujisogeza katika nafasi nzuri katika
msimamo wa Ligi Kuu England.
Lakini haitakuwa mechi rahisi na lazima vijana wa Arsene Wenger wafanye kazi ya ziada.
No comments:
Post a Comment