Saturday, November 18, 2017

MAHASIMU WA MADRID LEO

 












Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akionekana mwenye kujiamini wakati wa mazoezi ya Real Madrid jana katika viwanja vyao vya mazoezi vya Valdebebas mjini Madrid, Hispania kujiandaa na mchezo wa leo wa La Liga dhidi ya Atletico Madrid Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid

No comments:

Post a Comment