Beki wa kati, Pepe akimpongeza Manuel Fernandes baada ya kuifungia Ureno dakika ya 32 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Saudi Arabia usiku wa jana Uwanja wa Manispaa
ya Fontelo mjini Viseu. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake,
Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Goncalo Guedes
dakika ya 52 na Joao Mario dakika ya 90
No comments:
Post a Comment