Saturday, November 11, 2017

URENO YAWAPIGA 3-0 SAUDI ARABIA,

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Beki wa kati, Pepe akimpongeza Manuel Fernandes baada ya kuifungia Ureno dakika ya 32 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Saudi Arabia usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Fontelo mjini Viseu. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 52 na Joao Mario dakika ya 90

No comments:

Post a Comment