Ikiwa inacheza mechi yake ya 12 ya Bundesliga, Borussia Dortmund imepoteza mchezo wake wa nne.
Dortmund ikicheza bila ya mshambulizi wake nyota, Pierre-Emerick Aubameyang imepigwa 2-1 dhidi ya Stuttgart.
Mechi
hiyo ilikuwa inarushwa moja kwa moja kupitia king'amuzi cha StarTimes
kinachoshika umaarufu mkubwa kwa sasa katika masuala ya michezo.
No comments:
Post a Comment