Sunday, November 5, 2017

Manchester United kuwafuata chelsea darajani




Manchester United wamekwea treni hadi jijini London na tayari wamewasili.

Kutoka  Manchester hadi London ni mwendo wa saa mbili na dakika 5 hadi 15 na kilichowaplekeka ni shughuli ya leo.

Man United wan a kazi darajani, yaani Stamford Bridge watakapowavaa wakali Chelsea.

Kazi haitakuwa rahisi na Manchester lazima washinde kuhakikisha hakuna pengo kubwa kati yao na Manchester City ambao wameisshaanza kuwaacha.


No comments:

Post a Comment