Bw. Ghebreyesus ambaye awali aliisifu Zimbabwe kwa kujali afya ya wananchi wake, lakini wakosoaji wamedai kuwa, sekta ya afya nchini Zimbabwe imedhoofika chini ya utawala wa Rais Mugabe ambao sasa umedumu kwa miaka 30.
Wakosoaji wamedai watumishi wa afya nchini Zimbabwe mara nyingi hawalipwi mishahara, huku kukiwa na uhaba wa dawa na vifaa tiba kwenye hospitali na zahanati za umma.
Bw. Tedros, amesema, amewasiliana na serikali ya Zimbabwe kuhusu kubatilishwa kwa uteuzi wa Rais Mugabe kwa ajili ya manufaa ya shirika hilo la afya
No comments:
Post a Comment