Saturday, October 7, 2017

MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA SIKU YA MTOTO WA KIKE KITAIFA

WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO YATOA TAARIFA KUHUSU SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA KIKE KITAIFA

Pix 1 

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Watoto Bi Magreth Mussai akizungumza na waandishi wa habari  Mjini Dodoma kuhusu Maadhimisho ya Siku ya kimataifa ya Mtoto wa Kike yatakayofanyika kitaifa Wilayani Tarime Mkaoni Mara

Oktoba 11 mwaka 2017 kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Manunuzi Bi. Martha Chuma na wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii Bw. Patrick Golwike.
 Baadhi ya watendaji wa  Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto wakifuatilia mkutano kati ya Waandishi wa Habari na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Watoto Bi Magreth Mussai(hayupo pichani) wakati akitoa taarifa kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike yatakayofanyika kitaifa Wilayani Tarime Mkaoni Mara Oktoba 11 mwaka 2017.
Picha Na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW 
………………  
TAARIFA KUHUSU MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA KIKE ITAKAYOFANYIKA TAREHE 11 OKTOBA, 2017 KATIKA WILAYA YA TARIME, MKAONI MARA

No comments:

Post a Comment